Science
Uturuki: Mmoja afariki na kumi na wawili kujeruhiwa kando ya uchaguzi wa serikali za mitaa
Angalau mtu mmoja ameuawa na watu wengine kumi na wawili wamejeruhiwa Jumapili Machi 31 nchini Uturuki wakati wa matukio ya kando ya uchaguzi wa serikali za mitaa huko Diyarbakir, jiji kuu la Wakurdi (kusini-mashariki), imetangaza Wizara ya Afya.
By: rfi_fr
- Apr 01 2024
- 0
- 0 Views
ONLY AVAILABLE IN PAID PLANS