Baada ya mkutano wake na Zelensky, Trump ajitolea 'kusuluhisha' vita nchini Ukraine

Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amekutana ana kwa ana na Donald Trump siku ya Ijumaa Septemba 27 mjini New York, huku kukiwa na mvutano kati ya watu hao wawili kuhusu utetezi wa Ukraine dhidi ya mashambulizi ya Urusi.Ads Links by Easy Branches
Play online games for free at games.easybranches.com

Guest Post Services www.easybranches.com/contribute