Marekani yatangaza msaada mpya wa dola milioni 160 kwa Haiti

Marekani imetangaza hivi punde siku ya Jumatano msaada mpya wa dola milioni 160 kusaidia Haiti, ambapo jeshi la polisi la kimataifa limetumwa kwa miezi kadhaa kujaribu kuleta utulivu katika nchi hiyo inayokumbwa na magenge.Ads Links by Easy Branches
Play online games for free at games.easybranches.com

Guest Post Services www.easybranches.com/contribute