Burkina Faso: Human Rights Watch inasema wanajihadi sasa wanalenga raia

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch katika ripoti yake, linasema wanajihadi nchini Burkina Faso wameendeleza mashambulio yao na sasa wanawalenga raia wa kawaida.Ads Links by Easy Branches
Play online games for free at games.easybranches.com

Guest Post Services www.easybranches.com/contribute